Watu wenye ulemavu wamelalamikia kuachwa na daladala na kukosa viti wakiwa ndani ya daladala miongoni mwa changamoto nyingine nyingi wanazopitia.
Watu wenye ulemavu wamelalamikia kuachwa na daladala na kukosa viti wakiwa ndani ya daladala miongoni mwa changamoto nyingine nyingi wanazopitia.
Polisi, LATRA wasema huo ni uvunjifu wa sheria na kanuni; wataka wananchi watoe taarifa kwa mamlaka husika.
Machinga wanawake wamelalamikia kudhalilishwa pia na mgambo wa jiji. Manispaa yasema haijapokea malalamiko hayo.