Usafiri wa Umma Unaweza Kuwa Rafiki Zaidi kwa Watu Wenye Ulemavu?

Watu wenye ulemavu wamelalamikia kuachwa na daladala na kukosa viti wakiwa ndani ya daladala miongoni mwa changamoto nyingine nyingi wanazopitia.
Madereva Wanaobadili, Kukatisha Ruti Wawakera Abira Dar. LATRA Waonya

Polisi, LATRA wasema huo ni uvunjifu wa sheria na kanuni; wataka wananchi watoe taarifa kwa mamlaka husika.
‘Inatuumiza Sana’: Nyakua Nyakua ya ‘Nyau’ Kariakoo Yawakwaza Machinga

Machinga wanawake wamelalamikia kudhalilishwa pia na mgambo wa jiji. Manispaa yasema haijapokea malalamiko hayo.