Kwaheri Amir Sudi Andanenga, Tanzania Itakukumbuka Daima
Akianza kufahamika kama mshairi kwenye miaka ya 1950 na kufahamika zaidi alipohamia Dar es Salaam miaka ya 1960, Andanenga alifariki Mei 1, 2024, akiwa na umri wa miaka 88.
Akianza kufahamika kama mshairi kwenye miaka ya 1950 na kufahamika zaidi alipohamia Dar es Salaam miaka ya 1960, Andanenga alifariki Mei 1, 2024, akiwa na umri wa miaka 88.
Katika utenzi huu, mwandishi anatukumbusha kwamba mapenzi bora hutupa akili ya namna ya kuenenda.
Kikiandikwa na nguli Shaaban Robert, ‘Kielezo cha Fasili’ kinamsaidia msomaji kujua jinsi ya kusoma habari, kuielewa na kuielezea kwa maneno yake mwenyewe.
Mashairi ya kitabu hiki yanajadili masuala mbalimbali ya jamii, yakitoa mawaidha kuhusu maisha, kujenga tabia njema, mahusiano na watu, uongozi, na mapenzi.
Hata pale ambapo watu wake wa karibu walipokuwa hawamwelewi, Utubora, muhusika mkuu katika riwaya hiyo, alisimamia msimamo wake – alitaka kuifurahisha nafsi yake tu na si ya mtu mwengine yeyote.
Mwandishi anatupeleka kwenye ulimwengu uishio katika fikra tu, japokuwa ukianza kusoma habari za nchi hiyo unaanza kujiuliza kama kweli huko ni Sadiki au ni mahali fulani ambapo umeshawahi kufika.
Chapa yake ya saba ikichapishwa mwaka 2018 na Mkuki na Nyota, Kufikirika ni moja kati ya kazi za fasihi zilizompatia heshima kubwa mwandishi wake, Shaaban Robert, na kuendelea kuakisi jamii halisi ya Kitanzania.
Katika zama zetu, bado mwanamke anapingana na mfumodume kwa kiwango kikubwa lakini si zaidi ya vile ilivyokuwa kwa Siti.
Hatuwezi kukuza fasihi yetu ikiwa hatusomi vitabu vyetu.
Sidhani kama kuna mwandishi yeyote ambaye nimewahi kumsoma aliyemwelezea mke wake kipenzi kwa jinsi alivyofanya Shaaban Robert.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved