
Ratiba Ya Uchaguzi Mkuu Yatangazwa Rasmi, Oktoba 29, 2025 Itakuwa Siku Ya Kupiga Kura
Zoezi la utoaji fomu litakuwa kati ya Agosti 14, 2025 hadi Agosti 27, 2025 na Agosti 28, 2025, kipenga cha kampeni kikipulizwa.

Zoezi la utoaji fomu litakuwa kati ya Agosti 14, 2025 hadi Agosti 27, 2025 na Agosti 28, 2025, kipenga cha kampeni kikipulizwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Mussa Makame amesema lengo la mkataba huo ni kuweka rasmi mwongozo wa namna ambavyo watakavyoshirikiana kwa matarajio ya kufikia kwenye uzalishaji kutoka kwenye kitalu hiko hapo baadae.

She warned that such ambitions would not be met without changing the way things work and evaluate performance.

Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi jijini Dodoma, Julai 17, 2025 amesema ni wakati sasa wa kubadili mtizamo wa namna tunavyofanya kazi na kupimana.

Mawakili hao wanaeleza tayari wameshafanya mchakato wa kurudisha shauri hilo na wanategemea litapangiwa siku ya kusikilizwa.

Akiongea kwa njia ya simu wakili Kibatala amesema hiyo imetokana na mwingiliano wa shughuli mbalimbali za kimahakama.

Kwa sasa wanajihusisha na kubeba mizigo pamoja na biashara ndogo ndogo, vitu ambavyo hawakupenda kuvifanya ila imewalazimu.

By joining the AFC, member countries gain access to funding for investment, support for intra- and inter-African trade, and contributions to the development of the energy and extractives sectors.

As of June 13, 2025, the Bank of Tanzania has successfully purchased 5,022.85 kilograms of refined gold, valued at approximately USD 554.28 million.

Dodoma. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema, utiaji saini mikataba ya ununuzi na usafishaji dhahabu kati ya Benki Kuu ya Tanzania na makampuni ya
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved