
TPDC na Kampuni ya Nigeria Waingia Makubaliano Kuanzisha Utafiti wa Mafuta na Gesi Mnazi Bay Mtwara
Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Mussa Makame amesema lengo la mkataba huo ni kuweka rasmi mwongozo wa namna ambavyo watakavyoshirikiana kwa matarajio ya kufikia kwenye uzalishaji kutoka kwenye kitalu hiko hapo baadae.








