
Wadau Wataka Kutungwa Sheria Mpya ya Elimu Itakayoakisi Mabadiliko ya Sera
Uchambuzi wa taarifa hii ya awali ya Mei 2026 kuhusu mapitio ya Sheria ya Elimu, Sura ya 353, ni kwamba inahitajika kuhuisha au kutunga sheria mpya itakayoendana na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023.








