
Tanzania to Fully Fund 2025 General Election Without Donor Support
This plan will be outlined in the coming Government’s National Budget for 2025/26 financial year, expected to be presented in Parliament on June 12, 2025, in Dodoma

This plan will be outlined in the coming Government’s National Budget for 2025/26 financial year, expected to be presented in Parliament on June 12, 2025, in Dodoma

Maafisa Habari wamebeba dhamana ya kuhakikisha wananchi wanapata haki ya msingi ya kupata taarifa sahihi, na kurekebisha taarifa ambazo hazina ufasaha katika maeneo yao.

Kuondoa tatizo hili imependekezwa ihakikishwe kila Mtanzania anakuwa na cheti cha kuzaliwa kitakachopatikana kwenye mfumo, ili kuondoa udanganyifu wakati wa kusajili ndoa.

Wadau wa habari waonya isiwe nyenzo pekee ya kufanya kila kitu

Previously, the bill proposed a 36-week period as the maximum maternity leave for female workers who give birth.

“We cannot be led by public emotions. Currently, the Central Committee believes it is the right time to fill this position”

Kata hiyo yenye wakazi 45,000 imeshuhudia matukio ya mauaji takribani sita ndani ya mwaka huu.

Maoni ya Watanzania wengi ni kwamba watu wote waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha wanapaswa kurudi kuungana na familia na wapendwa wao, ambao wameeleza kwamba wako tayari kuwapokea hata kama wakiwa wamekufa.

Wanawake wengi wamejikuta wakipitia kipindi kigumu cha sonona na hata kufikia maamuzi ya kujiua kwa sababu ya Vicoba

Kuna yaliyowagawa wananchi na kulitia aibu taifa, lakini pia yaliyowaunganisha na kuwafakharisha Watanzania.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved