Haya Ndiyo Yaliyofanya Dira ya Taifa ya 2025 Isifanikiwe Kikamilifu. Mchakato wa Dira ya 2050 Waanza
Dhamira ya Serikali katika maandalizi ya Dira ya 2050 ni kushirikisha Watanzania kutoka pembe zote za nchi
Dhamira ya Serikali katika maandalizi ya Dira ya 2050 ni kushirikisha Watanzania kutoka pembe zote za nchi
Wadau wataka gharama za nishati mbadala zipunguzwe ili Watanzania wengi waweze kuzimudu.
Unatajwa kuongeza ufanisi kwenye ukusanyaji mapato na kuepusha upotevu.
Wananchi wameshauriwa kushiriki kikamilifu kwenye utunzaji wa vyanzo vya maji.
Malalamiko makubwa ni ucheleweshaji wa malipo kwa wakulima.
Wadau wahimiza mabadiliko ya sheria ili kudhibiti wimbi la ajali kwa vijana
Angalau watoto njiti 36 wapatiwa huduma katika Kitengo cha Watoto Njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bahi, Dodoma.
Yataka utoaji wa adhabu shuleni uzingatie waraka namba 24 wa mwaka 2002 wa Wizara ya Elimu na Utamaduni
Asema hatua ya kwanza muhimu ni kuwa na walimu wanaoweza kufundisha masomo hayo.
Imani kwamba watu wenye kigugumizi wana hasira hutokana na kutokujua namna nzuri ya kuongea nao.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved