Cabinet Deliberates Bukoba Plane Crash, Orders Investigation
The scope of the investigation is to find the real source of the accident as well as proposals for preventing similar accidents from occurring in the future.
The scope of the investigation is to find the real source of the accident as well as proposals for preventing similar accidents from occurring in the future.
Serikali inasema sera mpya ni muhimu kwani siyo tu italenga kuongeza idadi ya mifugo nchini bali pia ubora wa mifugo hiyo
Ni pamoja na kudhibiti upandaji holela wa bei ya bidhaa hiyo muhimu.
Ukiongoza kwa asilimia 101.5, mkoa wa Dodoma, ambao ndiyo makao makuu ya nchi, unafuatiwa na Ruvuma ( asilimia 91.1) na Mwanza (asilimia 79.5).
Unyonyeshaji mbaya umehusishwa na watoto wengi kusumbuliwa na tatizo hilo.
Serikali inaamini mafanikio haya yatarahisisha utekelezaji wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kuanza hapo Agosti 23, 2022.
Moja kati ya faida za mfumo huo ni kuondokana na madalali na kuirahisishia Serikali kukusanya mapato.
Migogoro ya ardhi Kilosa yaelezwa kudumu kwa takriban miaka 10, ikifanya maisha ya wenyeji wa huko, wengi wao wakiwa ni wakulima na wafugaji, kuwa magumu.
Wadau wengi wanaamini jamii itakuwa na ustawi mzuri zaidi kuliko ilivyo hivi sasa.
Ni simulizi ya Wema Hassan Hamis, mama wa watoto wawili anaelezea changamoto alizokutana
nazo toka akiwa msichana mpaka sasa. Wema anaihimiza serikali kufanya urahisi kwa watu wenye ulemavu kuipata mikopo ya Halmashauri
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved