The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Jackline Kuwanda

Nini Kimekwamisha Mabadiliko ya Sheria ya Usalama Barabarani Tanzania?

Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani wa mwaka 2021 ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni mnamo Juni 30, 2021, ikiwa ni baada ya miaka takriban sita ya ushawishi, uchechemuzi na vuguvugu kufanikisha hatua hiyo. Hata hivyo, tangu kusomwa kwake muswada huo ulipotolea kusikojulikana na hivyo hatma yake kutojulikana.

Wabunge Wataka Sheria, Kanuni Kandamizi za Uandishi wa Habari Kurekebishwa

Watunga sheria hao walitoa wito huo wakati wakiongea na The Chanzo pembezoni mwa mafunzo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (Misa-Tan) yaliyofanyika mnamo Februari 12, 2022, yaliyolenga kuwafahamisha wawakilishi hao wa wananchi kwenye vifungu vya sheria na kanuni vinavyominya uhuru wa vyombo vya habari nchini.

Wanawake Wanaolea Watoto Peke Yao Waelezea Uzoefu Wao

Ingawaje kuna changamoto nyingi za kulea watoto peke yao bila wenza wao, ikiwemo hali ngumu za maisha pamoja na mtazamo hasi wa kijamii dhidi yao, kila mama amedhamiria kuwapatia watoto wake malezi yaliyobora.