Zaidi ya Watoto 1,000 Dodoma Wana Uzito wa Ujifunzaji Shuleni
Uzito wa ujifunzaji ni ile hali inayomkabili mtoto na kumsababishia ugumu fulani kwenye kusoma, kuandika au kuhesabu.
Uzito wa ujifunzaji ni ile hali inayomkabili mtoto na kumsababishia ugumu fulani kwenye kusoma, kuandika au kuhesabu.
Serikali na wadau wengine wanapaswa kufanya zaidi kuwasaidia walemavu kukabiliana na ubaguzi mahala pa kazi.
Wadau wanakubaliana juu ya haja ya kuendelea kupigania mabadiliko kwenye sekta ya haki za kidijitali nchini ili watu wenye ulemavu waweze kunufaika na haki hizo.
Serikali inasema mfumo huo unalenga kuzisaidia mamlaka husika kupangalia mipango yake na maendeleo kwa wafugaji vizuri zaidi.
Pamoja na faida nyengine, mfumo huo unategemewa kurahisisha utambuzi wa wakazi na makazi katika ili kurahisisha mchakato wa kupeleka maendeleo kwa wananchi.
Mamlaka hiyo yenye jukumu la kusimamia maudhui kwenye mitandao ya kijamii imetoa wito huo katikati ya maoni ya wadau wanaolalamikia kuongezeka kwa vitendo vya udhalilishaji wanawake kwenye mitandao hiyo.
Mbunge huyo wa Viti Maalum anasema kwamba bila ukombozi madhubuti wa kiuchumi harakati za kumkomboa mwanamke kisiasa unaweza kuchukua muda mwingi zaidi kufanikiwa kuliko inavyotegemewa.
Wanawake hao wanataja mila potofu na mifumo mingine kandamizi inayowazuia kumiliki ardhi, kitu wanachosema kinakwamisha hatua zao za kujiletea maendeleo wanayoyataka.
Wadau wanaamini kwamba sheria na sera ambazo zimekuwa zikipitishwa na vyombo vya EAC kama vile Sekretarieti na Bunge la Afrika Mashariki zimekuwa hazizingatii suala la jinsia pamoja na wafanyabiashara wadogo.
Mwenyekiti huyo wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora anasema kwamba Serikali ilianzisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya kwa sababu ilioni hatua hiyo ni muhimu kwa taifa na hivyo haina budi kuukamilisha mchakato huo.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved