
Sakata la Bandari: Kamati Yaahirisha Kupokea Maoni ya Marekebisho ya Sheria za Maliasili Ikitaka Ufafanuzi wa Serikali
Mwenyekiti wa kamati hiyo ameiambia The Chanzo kuwa wanahitaji Serikali ifafanue maudhui ya mapendekezo ya marekebisho ya sheria hizo kabla ya kuwaalika wadau kutoa maoni yao.







