Ni ujenzi wa msingi wa kupitishia maji katika eneo la Mfenesini, kisiwani Unguja, ili kuondoa kero kwa wananchi wa eneo hilo ambao makazi yao huathirika kila ifikapo kipindi cha mvua za masika.
Ni ujenzi wa msingi wa kupitishia maji katika eneo la Mfenesini, kisiwani Unguja, ili kuondoa kero kwa wananchi wa eneo hilo ambao makazi yao huathirika kila ifikapo kipindi cha mvua za masika.
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
Mfumo huo wa utoaji stakabadhi umeanza utekelezaji kwenye mwaka unaendelea wa fedha wa 2021/2022 hapo Julai 1, 2021, na kuja kupata umaarufu zaid mwanzoni mwa mwezi Februari 2022 baada ya mamlaka husika kuanza ufuatiliaji wa kuhakikisha wafanyabiashara wanatumia mfumo huo.
Serikali visiwani humo inapanga mikakati ya kuwawezesha wakulima kupanda mwani kwenye maji ya kina kirefu ili kukwepa athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoripotiwa kudumaza mwani unaolimwa kwenye maji madogo.
Mfumo huo ambao ulizunduliwa rasmi mnamo Februari 27, 2021, ulilenga kumsogeza Rais Mwinyi karibu zaidi kwa wananchi ili aweze kusikia moja kwa moja kutoka kwao kero zinazowasumbua na hivyo kuzitafutia ufumbuzi wake.