Wadau Watia Neno Matukio ya Watoto Kujinyonga: ‘Jamii Imetelekeza Wajibu Wake’
Wanatoa wito kwa wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuwa karibu na watoto, pamoja na kusikiliza na kufanyia kazi hisia na mawazo yao.
Wanatoa wito kwa wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuwa karibu na watoto, pamoja na kusikiliza na kufanyia kazi hisia na mawazo yao.
Moja ya jambo ambalo linaonekana katika bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25 ni kuwa bajeti hii imepungua kwa kiasi kikubwa, kwa takribani asilimia 38, hii ikiwa ni baada ya miaka minne ya bajeti kuongezeka.
Sehemu kubwa ya waliojiua ni vijana wa umri kati ya miaka 18 mpaka 35 ambapo walikua asilimia 46, huku ikifuatiwa na watu wenye umri miaka 36 mpaka 59 ambapo walikua asilimia 27. Kwa ujumla asilimia 71 ya matukio ni watu wenye umri chini ya miaka 35.Ripoti inaeleza zaidi kuwa sehemu kubwa ya watu waliojiua ni wanaume, hasa vijana.
Katika mwaka huu wa fedha 2024/25, bajeti ya TAMISEMI inachukua takribani asilimia 24 ya bajeti yote ya Serikali ingawa kwa ujumla bajeti hii haina utofauti sana na bajeti ya mwaka 2023/24
Serikali yasema hapana, ikidai kwamba wazazi hawalazimiki kuwapeleka watoto huko kama shule nyingine zipo.
Waziri mwenye dhamana ya elimu anasema lengo ni kuwapa wanafunzi chaguzi zaidi kwenye kusoma wanachokifurahia.
Mkenda: Vyuo Vikuu Vinahitaji Kweli Mijadala, Lakini Siyo ya Kiharakati Pekee
In our briefing today: Dar es Salaam RC: The city needs a major overhaul of its drainage system ;
Tanzania collected Sh. 12.6 billion in digital tax from global tech companies;
World Bank and REGROW Project in Tanzania: A timeline of key events;
Government to clear over 18 billion debt owed to Tanzania media houses;
Now is the time for a bolder Tanzanian foreign policy
Ni wakati sasa vyombo vya usimamizi wa sheria kuboresha namna wanavyofanya ukamataji, upelelezi na uendeshaji wa kesi zinazohusu wanayamapori na haki jinai kwa ujumla,” Mahakama yaamuru.
The World Bank suspended its funding for the project following years of pressure from affected Tanzanians and human rights groups.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved