
Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Wahimiza Uwajibikaji Juu ya Mauaji ya Oktoba 29
Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Taarifa hiyo iliyosomwa na Sheikh Issa Othman ambaye ni Mjumbe wa Baraza la Ulamaa imeitaka serikali kuchukua hatua dhidi wa vinara wa matukio yaliyotokea toka Oktoba 29.

We owe it to those who lost their lives to ensure such violence is never repeated.

Zanzibar President and Chairman of the Revolutionary Council, Dr. Hussein Ali Mwinyi has announced a new 20-member Cabinet as he embarks on his second term in office.

My solemn request to President Samia is admission of deaths and honest condolences to the families, justice and accountability and political and security sector reforms.

Zungu, who served as Deputy Speaker in the 12th Parliament, was nominated by his party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), and endorsed by its parliamentary caucus. In his acceptance remarks, Zungu emphasized cooperation with the government while upholding fairness and integrity in parliamentary proceedings.

In his address, Dr. Mwinyi emphasized the importance of reconciliation and collaboration among political parties in building a stable and inclusive nation.

Hemed, who represents Kiwani Constituency in the Zanzibar House of Representatives, has been reappointed to the position for a second term under President Mwinyi’s Eighth Phase Government.

Zanzibar. Ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) stalwart Zuber Ali Maulid has been re-elected as Speaker of the Eleventh Zanzibar House of Representatives after securing

Ikiwa siasa ni tasnia inayohusisha hisia kali na za watu wengi, uamuzi wa kushiriki kwenye shughuli za Rais katika kipindi hiki kunajenga hisia kali za uasi na chuki kwa umma dhidi ya wanachama na chama chetu.