
Zanzibar Airport to Launch Its Terminal Three in December Amid Controversy
Local contractors and opposition parties have questioned the manner with which the tender was awarded to foreign companies.
Local contractors and opposition parties have questioned the manner with which the tender was awarded to foreign companies.
It proposes a comprehensive review of institutions of accountability along with policy debate on the entire criminal justice value chain of corruption.
Nilikuwa mmoja kati ya watu wengi walioteswa vikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Natumai kisa changu kitachangia kwenye michakato inayoendelea nchini ya kutafuta maridhiano ya kisiasa na kuboresha mfumo wa utoaji haki.
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
Mamlaka visiwani humo zinasema kama kuna mtu mmoja hafurahishwi na jambo linaloweza kunufaisha watu 500, Serikali itaenda na watu 500.
In our briefing today: Government Meets Diplomats on the Ngorongoro Saga; Journalist arraigned in Zanzibar over cybercrime charges; Afreximbank supports Elsewedy Electric to establish industrial zone in Tanzania; Tanzania, France agree on Sh195billion loan for water supply, sanitation; Over 900 hectares of farm crops destroyed in Singida.
Ni yule mwandishi aliyemuhoji kada wa CCM ambaye alidai kwamba hadhani Rais Mwinyi anapaswa kuwa Rais wa Zanzibar baada ya 2025.
In our briefing today: Tanzania introduces digital tax, reduced mobile money levy by 43pc; Authorities in Zanzibar investigate alleged abduction, torture of Mwinyi’s critic; ACHPR ‘gravely concerned’ about the fate of indigenous people in Ngorongoro; Oman Airports to develop Kilimanjaro airport; Wentworth Resources to acquire 25pc working interest in Tanzanian gas development project.
In our briefing today: Tanzanians mark the 58th anniversary of the Union between Tanganyika, Zanzibar; Bosch Rexroth appoints Tansec Limited as its distributor in Tanzania; Lawmakers in Zanzibar to start debating govt budget today.
Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved