
Wadau Walaani Kushikiliwa Mwandishi wa Habari Zanzibar, Wataka Aachiwe Huru
Ni yule mwandishi aliyemuhoji kada wa CCM ambaye alidai kwamba hadhani Rais Mwinyi anapaswa kuwa Rais wa Zanzibar baada ya 2025.

Ni yule mwandishi aliyemuhoji kada wa CCM ambaye alidai kwamba hadhani Rais Mwinyi anapaswa kuwa Rais wa Zanzibar baada ya 2025.

In our briefing today: Tanzania introduces digital tax, reduced mobile money levy by 43pc; Authorities in Zanzibar investigate alleged abduction, torture of Mwinyi’s critic; ACHPR ‘gravely concerned’ about the fate of indigenous people in Ngorongoro; Oman Airports to develop Kilimanjaro airport; Wentworth Resources to acquire 25pc working interest in Tanzanian gas development project.

In our briefing today: Tanzanians mark the 58th anniversary of the Union between Tanganyika, Zanzibar; Bosch Rexroth appoints Tansec Limited as its distributor in Tanzania; Lawmakers in Zanzibar to start debating govt budget today.

Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.

In our briefing today: Tony Blair is back in Tanzania; Court orders release of suspected drug baron; Drought kills 92,000 livestock in Simanjiro; Tanzania loses cherished scholar Honest Ngowi to road accident.

In our briefing today: Barrick faces fresh human rights violations allegations; Samia: Early disability recognition is key; New water project to end water shortage for animals in northern Tanzania; Mwinyi appoints new 13 district administrative secretaries.

Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.

Mfumo huo wa utoaji stakabadhi umeanza utekelezaji kwenye mwaka unaendelea wa fedha wa 2021/2022 hapo Julai 1, 2021, na kuja kupata umaarufu zaid mwanzoni mwa mwezi Februari 2022 baada ya mamlaka husika kuanza ufuatiliaji wa kuhakikisha wafanyabiashara wanatumia mfumo huo.

Serikali visiwani humo inapanga mikakati ya kuwawezesha wakulima kupanda mwani kwenye maji ya kina kirefu ili kukwepa athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoripotiwa kudumaza mwani unaolimwa kwenye maji madogo.

In our briefing today: Religious leaders met Samia on Wednesday. Here’s what they told her; Ambassador to hold talks with Zanzibar authorities over the fate of stranded Ukrainians; Inside Zanzibar’s use of drones in efforts to eliminate malaria; VP Mpango leaves for Kenya for global environmental summit.