
Mvutano Mkali Bungeni Madai ya Serikali Kuwahamisha Wamaasai
Ni kati ya Mbunge Ole-Sendeka na Serikali kuhusiana na mpango wa Serikali kupandisha hadhi mapori tengefu kadhaa kuwa mapori ya akiba, hali inayozuia hofu juu ya hatma ya wenyeji wa maeneo hayo.







