
Ras Inno: Hatutungi Nyimbo Tukaziimbe Rumande
Mwanamuziki huyo anaelezea A-Z ya sakata zima la yeye kuwa mikononi mwa polisi baada ya kufananishwa na mtuhumiwa mwengine.

Mwanamuziki huyo anaelezea A-Z ya sakata zima la yeye kuwa mikononi mwa polisi baada ya kufananishwa na mtuhumiwa mwengine.

Waitaka jamii kutoa ushirikiano kusambaratisha mtandao unaohusika na kutorosha vijana visiwani humo.

Wadau wahusisha matukio ya vijana kutoweka na ukosefu wa fursa visiwani Zanzibar.

Ni ‘Jamhuri’ ambayo imetambuliwa hata na Rais Samia.

Nilikuwa mmoja kati ya watu wengi walioteswa vikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Natumai kisa changu kitachangia kwenye michakato inayoendelea nchini ya kutafuta maridhiano ya kisiasa na kuboresha mfumo wa utoaji haki.

Anasema mambo haya hayakupatiwa ufumbuzi kwenye mchakato wa 2011 na muhimu yakapatiwa ufumbuzi sasa.

Wakenya na dunia nzima wanasubiri kwa hamu kujua endapo Ruto atakuwa Rais wa tano wa Kenya au uchaguzi utarudiwa.

It goes back to 2009 when Zanzibar passed a resolution declaring oil and gas not part of Union Matters.

Kada huyo wa CHADEMA anasema wao kama chama hawatabweteka kufuatia kauli ya CCM kwamba Katiba Mpya inahitajika bali wataendelea kuchochea uhuishwaji wa mchakato huo.

Serikali inaamini mafanikio haya yatarahisisha utekelezaji wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kuanza hapo Agosti 23, 2022.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved