
Aidan Eyakuze: Ni Wajibu wa Wananchi Kusimamia Uwazi, Uwajibikaji Serikalini
Kwa sababu wao ndiyo waajiri wa Serikali, wananchi wanapaswa kuhakikisha Serikali yao inafanya mambo yanayokidhi maslahi na matakwa yao, na siyo vinginevyo.

Kwa sababu wao ndiyo waajiri wa Serikali, wananchi wanapaswa kuhakikisha Serikali yao inafanya mambo yanayokidhi maslahi na matakwa yao, na siyo vinginevyo.

Ni nini Afrika kama bara inaweza kufanya kuiepusha na viongozi wa aina ya kina Dos Santos? Jibu linaweza kuwa gumu kuliko swali.

Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.

Chama hicho kinalitaka Bunge kuwafukuza kutoka bungeni waliokuwa wanachama wake 19 ambao pia ni Wabunge wa Viti Maalum.

Serikali ni lazima ijue kuwa Tanzania haitaweza kupaa kiuchumi kama sera na taratibu za kibiashara zitakuwa zinabadilika kila siku.

Sensa ni hatua muhimu kwenye mchakato mzima wa kuwaletea wananchi maendeleo.

In our briefing today: Tanzanians mark the 58th anniversary of the Union between Tanganyika, Zanzibar; Bosch Rexroth appoints Tansec Limited as its distributor in Tanzania; Lawmakers in Zanzibar to start debating govt budget today.

Union Day should be an opportunity to reflect more deeply on the type of Union the country aspires to have.

In our briefing today: Police release activist Peter Madeleka after holding him incommunicado for six days; Barrick reports water pipeline failure at its North Mara mine; Its Union Day.

Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved