
Ni Majukumu Yepi Ya Kitaifa Yanamzuia Dkt. Mpango Kuonekana Hadharani?
Sidhani katika hali ya kawaida Dkt. Mpango angeacha kutoa pole au kusafiri hadi Hanang kuwapa pole waathirika wa maafa.
Sidhani katika hali ya kawaida Dkt. Mpango angeacha kutoa pole au kusafiri hadi Hanang kuwapa pole waathirika wa maafa.
It includes ensuring integration and allowing interoperability of government systems to improve their functionalities.
Marekebisho haya ya Katiba yaliondoa baadhi ya misingi ya kidemokrasia ambayo kwa sasa ndiyo inapigiwa chapuo iweze kurejeshwa.
Maboresho hayo hayaepukiki kuepusha maboresho ya sheria yanayotarajiwa kukinzana na Katiba.
Kijana huyo anadaiwa kupigwa na maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hadi kupoteza maisha.
Ni wanafunzi wapatao 55 wa Kituo cha Tucheze, Tujifunze cha Fukuchani, Unguja, ambao wanadaiwa kusomea chini ya miti kwa miaka 13.
Kiwanda cha NIDA Textile Mills (T) LTD kinadaiwa kutiririsha maji taka kwenye Mto Kibangu, hali inayolalamikiwa kuwaathiri wananchi wa karibu.
Kalenda nzima ya nini kitaanza, na nini kitafuata, hatua kwa hatua hadi kupata Katiba Mpya, itapaswa kuandikwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Katiba.
Je, mageuzi yanayotafutwa Tanzania ni kwa maslahi ya wanasiasa tu au kwa maslahi ya kila Mtanzania?
Muswada unaolenga kutengeneza sheria ya kuwalipa wenza wa viongozi mafao baada ya viongozi hao kustaafu, unataka kuwalipa wenza hao malipo ya kazi ipi?
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved