
John Heche: Ugonjwa Unaoitesa Tanzania ni Uongozi M’bovu
Ataka mifumo na taasisi ziwekwe ambazo zitahakikisha watawala wanawajibika kwa wananchi.
Ataka mifumo na taasisi ziwekwe ambazo zitahakikisha watawala wanawajibika kwa wananchi.
Nilikuwa mmoja kati ya watu wengi walioteswa vikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Natumai kisa changu kitachangia kwenye michakato inayoendelea nchini ya kutafuta maridhiano ya kisiasa na kuboresha mfumo wa utoaji haki.
Anasema mambo haya hayakupatiwa ufumbuzi kwenye mchakato wa 2011 na muhimu yakapatiwa ufumbuzi sasa.
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.
Chama hicho kinadai bajeti imeshindwa kutoa muelekeo sahihi ambao Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inaelekea.
Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.
Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.
ACT-Wazalendo yataka uwazi uongezeke ndani ya Serikali na Bunge lifanye kazi yake ya kuisimamia Serikali vizuri kama njia ya kuzuia ubadhirifu ndani ya Serikali usitokee.
Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved