Falsafa ya Maendeleo Inayoeleweka kwa Umma ni Msingi Imara wa Ukombozi wa Taifa
Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.
Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.
Isingekuwa rahisi kwao kufanya makosa wanayofanya, na wangefaidika sana na mafunzo yanayohusu uadilifu na uwajibikaji.
136 Maasai people from Msomera are threatening to return to Ngorongoro if authorities fail to provide them with the incetives they promised.
In our briefing today: Tanzania to come up with new drug policy ;
President Samia to visit Turkey following President Erdogan’s Invitation;
Tanzania urges caution and more research on the decision to permit marijuana use
Marijuana continues to be the most widely used and cultivated drug in Tanzania, according to reports from the Drug Control and Enforcement Authority (DCEA). Between 2016 and 2021, about 202 tons of marijuana were seized, resulting in 97,399 individuals receiving jail sentences.
Serikali imesema jambo la kutoa kibali cha kuruhusu kilimo na matumizi ya bangi ni suala ambalo halitakiwi kufanyiwa maamuzi ya haraka, inabidi serikali ijipe muda kufanya tafiti za kutosha ili ifanye maamuzi yenye tija.
Kikiandikwa na nguli Shaaban Robert, ‘Kielezo cha Fasili’ kinamsaidia msomaji kujua jinsi ya kusoma habari, kuielewa na kuielezea kwa maneno yake mwenyewe.
Ni lazima tujenge taifa linalotaka kushindana kwa haki, kushinda kwa haki na kukubali matokeo.
Jumla ya washindi 30, kutoka tanzu za riwaya, ushairi na hadithi za watoto, walitangazwa, huku washindi wa kwanza kutoka kila tanzu wakijishindia vyeti, ngao na fedha taslimu Shilingi milioni kumi kila mmoja.
In our briefing today: Monday Is Here: Will Makonda stay true to his word by naming ministers who allegedly pay people to insult the president? ;
Funeral held for eight students from Ghati Memorial School as floods death toll reaches 58 nationwide;
Kawetele landslide claims over twenty homes in Mbeya
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved