Nishati Safi ya Kupikia: Wanaoongea ni Wengi Lakini Bosi ni Hela
Watu wasio na uhakika wa kula, wakipata chakula watakipika kwa nishati ya bei ya chini zaidi.
Watu wasio na uhakika wa kula, wakipata chakula watakipika kwa nishati ya bei ya chini zaidi.
In our briefing today: Tanzania adds Boeing 737-9 Max to its fleet as US investigates the plane’s safety;
Media fraternity mourns two journalists who died in a road accident;
Announcement of new subject combinations raises many unanswered questions
Air Tanzania has purchased Boeing 737-9 Max at a time when Boeing is experiencing a crisis following safety concerns about its 737-9 Max
Ugonjwa huu huwapata watu wazima na watoto, japo zaidi ni kwa watu wazima wenye umri kuanzia miaka 35, wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, pamoja na wale wenye historia ya ugonjwa kwenye familia zao.
Lack of transparency and communication are key to the generally negative reaction to major government pronouncements.
Kama jamii, tunataka kuona maafisa wa polisi ambao ni mfano wa haki, uadilifu na huruma. Kwa sasa, hata hivyo, maafisa hao hawana sifa hizo.
In our briefing today: M-mama expands nationwide, linked to emergency health line 115; Nchimbi on Zanzibar GNU debate: ‘CCM cannot abdicate its responsibility’;CCT concerned over the government’s push to register faith-based social services initiatives as NGOs
Tunachojifunza ni kwamba watoto wenyewe wakipewa fursa ya kuhusiana bila ya sisi wazazi kuwa mahakimu kila wakati, wanaweza kujenga mahusiano mazuri tu.
Haya mambo ya kutaka ushindi kwa nguvu katika kila mechi, yanaweza kutupa picha bandia kuwa tuna timu nzuri, kumbe hatujui hata uzuri wake uko sehemu gani na kushindwa kuuimarisha.
Katika maisha yangu ya hivi karibuni msukosuko mkubwa nilioupata na familia yangu ikatisika kidogo ilikuwa ni masuala ya uraia na ikanifundisha vitu fulani fulani.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved