The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Tag: op-ed

Hatua Tano Muhimu Kufikia Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania

Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.

Mbivu, Mbichi Bajeti ya Tanzania 2022/2023

Je, tunapaswa kufanya kitu gani kama taifa kuweza kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi nchini pasipo kuleta athari za kijinsia kwa makundi mbalimbali, wakiwemo wanawake na watoto?

×