
Of the Govt Budget, New Constitution and the Future of Tanzania
Until the New Constitution is promulgated MPs will continue to complain about budgets that are unimplementable for years to come.

Until the New Constitution is promulgated MPs will continue to complain about budgets that are unimplementable for years to come.

The LNG project embodies a historic potential for catalyzing development in the country, but weak oversight might end up undercutting its promise.

Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.

Kuwemo kwa nchi zenye nguvu kiuchumi kama India, Afrika Kusini na Nigeria – kuzitaja chache – mtu ungetarajia Jumuiya ya Madola ingekuwa na uwezo wa kushinikiza mfumo mpya wa kiuchumi duniani. Hali haiko hivyo.

Kati ya wanawake na wasichana 87,000 waliouwawa ulimwenguni kote kwa mwaka 2017, zaidi ya theluthi moja walifariki kwenye mikono ya wapenzi au waume zao wa sasa au wa zamani. Hili siyo suala la kifamilia. Hili ni janga la kijamii.

Maasai people do not ask non-Maasai people to stand with them because they are special beings. But because tyranny has no limit and it knows no borders.

Kuna sababu kwa nini Serikali inaona nguvu ni njia sahihi ya kufanikisha zoezi lake huko Ngorongoro badala ya ushirikishwaji wa wenyeji.

Jamii za kifugaji zimekuwa mpango bora wa matumizi ya ardhi yao na wamekuwa wakifanya hivyo kwa sehemu zote ikiwemo Ngorongoro.

Je, tunapaswa kufanya kitu gani kama taifa kuweza kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi nchini pasipo kuleta athari za kijinsia kwa makundi mbalimbali, wakiwemo wanawake na watoto?

True decolonisation of the mind cannot and should not be regressive. People must embrace scientific thinking – not because it is native but because it is necessary.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved