
A Catch in Samia’s Economic Success Story
President Samia’s accomplishment lays bare a scary reality in the Tanzanian political-economic situation: the failure of CCM to ensure economic policy stability, which is the bedrock of long-term growth.

President Samia’s accomplishment lays bare a scary reality in the Tanzanian political-economic situation: the failure of CCM to ensure economic policy stability, which is the bedrock of long-term growth.

The up and coming intellectuals should study Prof Ngowi’s life and emulate it. Tanzanians benefit more when intellectuals come out of academia and share their knowledge with the general public in a manner that makes the common understand complex issues.

How President Samia deals with key political reforms can be used to gauge how honest she was when she seconded the postponement of the New Constitution on March 21. Is it so as to buy more time or was it out of genuine concerns for the inadequate time needed to craft the mother law?

Waandishi wanalo jukumu la kuwasemea wasio na sauti na kuitaka Serikali iwawajibisha wawekezaji wanaodhulumu watu maskini wanaohenyeka kwa kazi ngumu na kulipwa kiduchu. Lakini jukumu hilo linatekelezwa kwa kiwango kidogo sana nchini.

Katika makala hii, Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo anarejea mchango wa Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania kwa kuainisha pale Magufuli alipoikuta Tanzania na alipoiacha wakati anafariki, na hivyo kujenga msingi wa kuelewa Tanzania inapoelekea chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Racism is a product of power dynamics. Only when people realise that Africans are not defenceless, that there will be consequences for their actions, will they change their approach.

Hatua hizi zinazoendelea kuchukuliwa kuboresha sekta ya elimu Zanzibar hazitazaa matunda endapo kama wale wanaopewa dhamana hawatachukua jitihada za makusudi katika kurekebisha vikwazo vilivyopo ili changamoto za sekta ya elimu kutatuliwa ipasavyo.

Tanzania should initiate a bill for the enactment of a Freedom of Association Law that would repeal and replace the NGOs Act No. 24 of 2002 and govern the free operations of voluntary organizations, groups, entities and activities.

FBME was the only bank in Tanzania with few branches but had strong financial muscles. Data shows that as of September 2013, FBME was the largest commercial bank in Tanzania, with a total asset base valued at approximately $2.716 billion, which is about Sh4.4 trillion.

DPP, kama mfumo wa utoaji haki Tanzania ungekuwa mzuri, angeweza kusema kwamba katika kupitia upya ushahidi uliokusanywa kuhusu shauri husika, anaona, pasipo shaka yoyote, kuwa watuhumiwa hawawezi kutiwa hatiani na hivyo anaona kuwa ni kupoteza muda wa Jamhuri na watuhumiwa kuendelea na shauri husika.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved