
Ado Shaibu: Ninavyomfahamu Richard Mabala, Mwalimu Hodari, Mwanaharakati Machachari
Alikuja Tanzania akidhani atakaa kwa miezi michache tu, akavutiwa kubaki na mpaka kuacha uraia wake wa Uingereza na kuwa Mtanzania kamili.
Alikuja Tanzania akidhani atakaa kwa miezi michache tu, akavutiwa kubaki na mpaka kuacha uraia wake wa Uingereza na kuwa Mtanzania kamili.
Tusiangalie takwimu tu, tujue kwamba kila tarakimu ya mtoto aliyekosa fursa ya kujiendeleza kielimu ni mtoto mwenye ndoto yake.
Kwa mfano, endapo washindani wote wameenguliwa kwenye kinyang’anyiro, kitakachofanyika hapa kinastahili kweli kuitwa “uchaguzi?”
Serikali inatoa ahadi tamutamu bila kujali kwamba ahadi ni deni. Ndiyo maana ahadi imekuwa duni, na watu wanaumia.
Mkinzano huu pia utavikumba vyama vyote kwa kadiri pengo kati ya walala hoi na walalahai linazidi kuongezeka na ahadi za maisha bora zinaonekana hazitatimia hazijatekelezwa bado, bali ni kwa sababu hazitekelezeki.
At the same time, should we deprive our children of a holiday that they have looked forward to all year, with exceptional food, clothes, and presents, a special time of celebration for them?
Iwapo wanafunzi wengine wataondolewa kwenye shule ya mtaani kwao, kwa kuwa hawawezi kulipa ada katika mfumo wa elimu bila ada, ina maana kwamba shule imebinafsishwa kwa wanaolipa ada hii.
Authorities should welcome all individual or organisational support for their own efforts and work together to ensure that the money gets to the right people as soon as possible.
Voting shouldn’t be a one-off exercise that can be shut down at any moment, but the beginning of a process to continue organising and fighting for what you believe is right.
Kitabu cha Paulo Freire, Pedagogy of the Oppressed, kinaweza kutusaidia kulifahamu tatizo linalotukabili kama Watanzania, na namna ya kulitatua.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved