Mkataba wa Bandari: Matukio Muhimu Kuhusu Suala Linalogawa Maoni ya Watanzania
Mikataba mitatu ya uwekezaji yasainiwa huku baadhi ya wadau wakiendelea kuukosoa vikali mkataba huo.
Mikataba mitatu ya uwekezaji yasainiwa huku baadhi ya wadau wakiendelea kuukosoa vikali mkataba huo.
Tunasema wanafunzi wanahitimu wakiwa hawajaiva, lakini wataivaje kama wananyimwa nafasi za mafunzo kwa vitendo?
Wanataka umri wa kugombea ubunge, udiwani na uenyekiti wa Serikali ya Mtaa upunguzwe kutoka wa sasa 21 mpaka 18.
Some describe the move as the Head of State’s strategies to consolidate power ahead of upcoming civic and general elections.
Kwenye mabadiliko hayo, Jerry Slaa anakuwa mjumbe mpya kabisa kwenye Baraza la Mawaziri, huku Angeline Mabula akitupwa nje.
Aihakikishia BRICS kuwa Tanzania itaendelea kuwa muungaji mkono wake mkubwa na rafiki wa kweli.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ameiambia The Chanzo kuwa wanahitaji Serikali ifafanue maudhui ya mapendekezo ya marekebisho ya sheria hizo kabla ya kuwaalika wadau kutoa maoni yao.
The committee’s chairperson tells The Chanzo that it needs the government to clarify the content of the proposed amendments before it can invite stakeholders to share their views.
Baa hiyo, ijulikanayo kama The Cask Bar and Grill, imefungwa kwa madai ya kukiuka masharti ya leseni na kukwepa kodi.
Wastaafu takriban 470 waliokuwa wakifanya kazi TAZARA na kustaafishwa kwa lazima bila kulipwa stahiki zao ni miongoni mwa waathirika.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved