Kuwemo kwa nchi zenye nguvu kiuchumi kama India, Afrika Kusini na Nigeria – kuzitaja chache – mtu ungetarajia Jumuiya ya Madola ingekuwa na uwezo wa kushinikiza mfumo mpya wa kiuchumi duniani. Hali haiko hivyo.
Kuwemo kwa nchi zenye nguvu kiuchumi kama India, Afrika Kusini na Nigeria – kuzitaja chache – mtu ungetarajia Jumuiya ya Madola ingekuwa na uwezo wa kushinikiza mfumo mpya wa kiuchumi duniani. Hali haiko hivyo.
Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.
Kauli hiyo inamaanisha kwamba Samia ameweza kujijenga na kuonekana kwamba amemudu kuyahodhi madaraka ndani na nje ya chama chake cha CCM
Kitendo cha Moroko kuendelea kuikalia kwa mabavu Sahara Magharibi kinaonesha kwamba harakati dhidi ya ukoloni barani Afrika hazijaisha
Wimbi la mapinduzi ya kijeshi linaloikumba Afrika kwa sasa, pamoja na ulegevu wa hatua za Umoja wa Afrika, kunaifanya kauli kwamba matatizo ya Afrika yatatuliwe na Waafrika wenyewe isiyoendana na uhalisia.
Yanayotokea Sudan yanadhihirisha wazi kwamba jeshi la nchi hiyo halina nia ya kubaki kama taasisi ya ulinzi wa taifa.
Kansela huyo wa kwanza mwanamke nchini Ujerumani anategemewa kuachia ngazi mwisho mwa mwaka huu baada ya kulitumikia taifa hilo la Ulaya kwa kipindi cha miaka 16.
Miaka 36 baada ya kifo cha Raisi wa kwanza wa Guinea Sekou Toure, bado wadadisi wanahoji je, kiongozi huyo alikuwa dikteta au mlinzi wa uhuru na mapinduzi ya Guinea?
Bolivia imetoa fundisho kwamba sera za kijamaa zinatekelezekaikiwa viongozi watakuwa waadilifu na kipimo ni mafanikio yaliyopatikana kwenye Uchaguzi Mkuu wa Bolivia.
Lengo lisiwe kumpa nguvu mwanamke au mwanamme bali kumpa nguvu binadamu bila ya kujali jinsia yake, ili kila mmoja katika jamii achangie kwa ujuzi na maarifa aliyonayo. Ni hapo ndipo utakapopatikana usawa wa kweli wa kijinsia.