
Tafakuri Juu ya Mtoto wa Tanzania
Jitihada zaidi zinahitajika kujenga Tanzania inayomlinda mtoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.

Jitihada zaidi zinahitajika kujenga Tanzania inayomlinda mtoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.

Wito huo unafuatia ripoti inayoonesha kwamba Tanzania kwa sasa haina mwongozo wowote unaoeleweka wa namna bora ya kugawa bajeti inayotengwa kwenye elimu ili ielekezwe kwa ajili ya elimu jumuishi.

Wasema ubunifu usiwepo kwenye ukusanyaji wa mapato tu bali hata kwenye uwazi wa matumizi yake.

Ingawa wameguswa na msiba wa Rais Magufuli, wakazi wa Dar es Salaam wanalalamikia athari zitokanazo na katazo la kufanya sherehe, wakisema linaathiri ratiba na uchumi wao.

Dr John Pombe Magufuli, Raisi Wa Tanzania Amefariki Dunia

Asema tetesi za kuugua dhidi ya Rais Magufuli zinaenezwa na watu wasioitakia mema Tanzania.

Ni kutokana na kanuni ndogo mpya za TCRA zinazolenga kutatua kero za watumiaji wa huduma na kuongeza ustawi wa sekta ya mawasiliano nchini.

Mtaalamu wa tiba asili kutoka MUHAS anaiambia The Chanzo kwamba ‘kupiga nyungu’ hakutibu COVID-19, ingawaje inasaidia kuboresha mfumo wa upumuaji wa mwanadamu

Hii si mara ya kwanza kwa Jiji la Dar es Salaam kufanyiwa mabadiliko, mabadiliko kadhaa yameshafanyika huko nyuma kama sehemu ya kuliboresha jiji hilo.

Mama huyo anadai wasaidizi wa Rais Magufuli wanamdanganya, si kweli kwamba wanasaidia wanyonge.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved