
PPRA Yafichua Ubadhirifu Mzito Kwenye Taasisi za Umma, Halmashauri
Ziko pembejeo za milioni 618 Wizara ya Kilimo pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Itigi aliyelipa zaidi ya Shilingi milioni 27 kwa bidhaa ambazo hazikuwahi kukabidhiwa.

Ziko pembejeo za milioni 618 Wizara ya Kilimo pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Itigi aliyelipa zaidi ya Shilingi milioni 27 kwa bidhaa ambazo hazikuwahi kukabidhiwa.

Ulimwengu anasema Katiba Mpya ni muhimu kwani itawaokoa watu na upigaji ramli katika uendeshaji wa nchi.

Familia inafanya utaratibu wa kumsafirisha kuja Tanzania kwa ajili ya mazishi.

Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.

Kada huyo wa CCM anasema moja ya sababu ya kuingia kwenye vyama vingi ni kusikiliza maoni ya watu

Programu ya EMA-i hutumika katika uangalizi na utoaji wa taarifa zinazohusiana na magonjwa mbali mbali.

Serikali imekuwa ikiwashangilia raia wenye asili ya Tanzania wanapofanya vizuri ughaibuni lakini imekuwa nzito kuwapatia raia hao hadhi ya uraia pacha.

Dar es Salaam. Kuna changamoto nyingi sana zinazowakabili watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania. Na jitihada nyingi zinachukuliwa kuhakikisha kwamba changamoto

Dk Bagonza anataja sababu tatu kwa nini anaamini viongozi wa dini Tanzania wameshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wao wa kupigania taifa la haki nchini.

“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved