
Ukimya Siyo Suluhu ya Manyanyaso Katika Ndoa
Wanawake wanapaswa kusimama wao kama wao bila kuwa tegemezi kwa wenza wao. Hiyo itasaidia kupunguza manyanyaso. Na pale wanapokumbana na manyanyaso, watoke mbele waongee, wasikae kimya.

Wanawake wanapaswa kusimama wao kama wao bila kuwa tegemezi kwa wenza wao. Hiyo itasaidia kupunguza manyanyaso. Na pale wanapokumbana na manyanyaso, watoke mbele waongee, wasikae kimya.

Zitto anasema kwamba juhudi nyingi katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika zimeelekezwa kwenye kujenga nchi badala ya kujenga taifa.

Mwandishi huyo na mshauri wa siku nyingi wa masuala ya habari anasema bila ya Serikali kuwa na uvumilivu ni vigumu kupata sheria na kanuni rafiki kwa waandishi wa habari na vyombo vyao vya habari

Kwenye sehemu ya pili ya mahojiano na mwanasiasa huyo, Zitto anafafanua kinachoendelea nchini Ethiopia pamoja na kutoa tathmini yake ya Serikali ya Rais Samia.

Kiongozi huyo wa kisiasa anasema hilo limejidhihirisha kwenye hatua ya Serikali kubatilisha marufuku yake ya awali iliyokuwa inawazuia wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni kuendelea na masomo baada ya kujifungua, akidai hatua hiyo imetokana na shinikizo kutoka Benki ya Dunia.

Msanii huyo anasema kwamba hana mawazo ya kukimbilia uhamishoni kuepukana na usumbufu anaoupata kutoka kwa vyombo vya dola vya Tanzania ambavyo anadai vimemfanyia kila aina ya masaibu yanayolenga kumfanya aache aina ya mziki anaoufanya.

Ni kitabu chake cha Biubwa Amour Zahor: Mwanamke Mwanamapinduzi kilichochapishwa mwaka huu na kuzinduliwa Novemba 13, 2021, jijini Dar es Salaam.

Mustafa Abubakar alizaliwa Muislam kabla ya kubadili dini na kuwa Mkristo lakini bila ya kubadilisha jina alilopewa na baba yake.

Nguli huyo wa historia nchini anabainisha umuhimu wa watu kujua historia yao akisema kwamba mtu akinyang’anywa historia yake ndio amenyang’anywa utu wake.

Ziko pembejeo za milioni 618 Wizara ya Kilimo pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Itigi aliyelipa zaidi ya Shilingi milioni 27 kwa bidhaa ambazo hazikuwahi kukabidhiwa.