
Vodacom: Takribani Robo ya Miamala ya M-Pesa Imepungua
Kampuni hiyo ya simu imehusisha anguko hilo na tozo zinazotozwa kwa Watanzania pale wanapofanya miamala kwa kutumia simu za mkononi.

Kampuni hiyo ya simu imehusisha anguko hilo na tozo zinazotozwa kwa Watanzania pale wanapofanya miamala kwa kutumia simu za mkononi.

Wadau washauri kuundwa kwa tume maalum itakayochunguza mauaji hayo na kubainisha sababu zinazopelekea kuibuka kwake na nini kinaweza kuwa ni suluhisho.

Ni muhimu watu wanaondesha taasisi hiyo wakakumbatia fursa zinazotolewa na maendeleo ya TEHAMA katika kurahisisha kazi zao na pia kuachana na ukale ambao hauna maslahi kwa taifa.

Sekta ya Bima ni sehemu muhimu ya uchumi wa Tanzania ambao mpaka Juni 2021, kampuni za bima zilikua na mali za Shilingi trilioni 1.2, huku bima zikiweka amana za takribani Shilingi bilioni 346 katika mabenki.

Ni kati ya wanajeshi 14,000 waliopo nchini Afrika ya Kati kama sehemu ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo unaoitwa MINUSCO.

Wapo watafiti, wanasayansi, wasanii na wapiga picha pia ambao kwa umoja wao waliifanya Tanzania ing’are kimataifa.

Ireland yagoma kuirejeshea Tanzania fedha ilizotumia kumsafirisha tembo kwa ndege kwenda Ireland, licha ya Tanzania kudai kwamba Ireland iliahidi kulipia gharama hizo.

Gavana wa Benki Kuu amezungumzia umuhimu wa kuwa makini na kujilinda zaidi juu ya masharti ya mikopo ya kibiashara

Ni John Peterson, Afisa wa US Peace Corps anayedaiwa kumuua raia wa Tanzania Rabia Issa kwenye ajali ya barabarani Msasani, Dar es Salaam, mwaka 2019 na kukimbizwa nchini Marekani na Serikali yake ili kukwepa mashtaka dhidi yake nchini Tanzania.

Wakulima wadogo wameendelea kutumika kama mawakala wa masulihisho potofu kwenye mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia ya nchi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved