The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Njonjo Mfaume

Viti Maalumu Vishindaniwe Kwa Wananchi

Ni muhimu kuanzishwe mfumo mpya utakaofanya wanawake wa vyama mbalimbali wapambane kutafuta kura kwa wananchi moja kwa moja kuliko mfumo wa sasa ambapo viti hivyo vinaonekana kama fadhila au hisani za viongozi  kwa wanawake kuliko stahili yao iliyotokana na uwezo.

Miruzi Mingi Yamuweka Rais Samia Katika Njia Panda

Rais Samia anakabiliwa na changamoto za kukidhi matakwa ya makundi mbali mbali ya kijamii, kisiasa na kiraia. Wakati hawezi kukidhi matakwa ya kila kundi kwa kasi inayotakiwa na kundi husika, Rais Samia ana nafasi ya kuandika historia tofauti na ile ya mtangulizi wake.