The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Njonjo Mfaume

Nini Kimeua Uandishi wa Habari za Wafanyakazi Tanzania? 

Waandishi wanalo jukumu la kuwasemea wasio na sauti na kuitaka Serikali iwawajibisha wawekezaji wanaodhulumu watu maskini wanaohenyeka kwa kazi ngumu na kulipwa kiduchu. Lakini jukumu hilo linatekelezwa kwa kiwango kidogo sana nchini.