The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Robert Mwampembwa

Tafakuri Fupi Kuhusu Filamu ya Tanzania: The Royal Tour

Filamu ya Tanzania: The Royal Tour inaelekea kufanikiwa katika hatua hii ya pili baada ya uzalishaji. Lakini siku za usoni tusifanikiwe kwa kubahatisha. Ni muhimu kwa vyombo vyetu, hasa vile vya sanaa, kuwa na mipango mikakati ya kukuza sanaa Tanzania.