What’s Next for Bolt, Uber After Regulatory Struggles in Tanzania?
It will all depend on the dialogue that the regulator said is in the offing.
It will all depend on the dialogue that the regulator said is in the offing.
Kwa kuangalia hali ya mfumuko unavyoendela, na kwa kuwa kuna uwezekano wa bei kuendelea kupaa, wazo la Serikali kufanya kitu lina uzito mkubwa. Hata hivyo, umakini unahitajika katika kufanya maamuzi kwa kuangalia uhitaji wa sasa na wa baadae.
Wengi wanaamini mlango wa mazungumzo unaweza ukafunguka tena. Hatua ya hivi karibuni ya nchi za ulaya na marekani kuzuia benki za Urusi kutumia mfumo wa kibenki wa swifti pamoja na NATO kuongeza majeshi karibu na mipaka ya Urusi inaweka shinikizo zaidi kwa Urusi kurudi kwenye mazungumzo.
Rising Turkey’s influence and also interest in Tanzania means aside from Europe, US and China, there is an emerging player that Tanzania can also benefit from in terms of investments, finances, technology, and access to the market. But all of this depends on our ability to negotiate and learn to see opportunities.
As much as it’s the parliament that decides who is going to be the Speaker, the process has to be tested in the court of public opinion. And this can be done by stakeholders coming out and owning the process on their own terms.
Mamlaka ya Bandari na Kampuni ya Huduma za Meli wamekuwa wakiingia kwenye mikataba ya kipigaji na isiyokuwa na tija kwa taifa
Timu ya watu 19 kutoka Kitengo cha Kufuatilia Kodi za Kimataifa ndani ya TRA iliiletea Serikali Shilingi bilioni 108 za kodi baada ya kufanya ukaguzi kwenye makampuni 60 ya kimataifa.
This change in approach is welcome because it provides the opportunity for actors to explore factors causing violent extremism, understand the risk areas and over time apply positive pressure to the rehabilitation of groups and individuals.
Leseni za kidigitali zinaweza kutolewa kwa kutumia kimbulisho cha NIDA na namba za simu rasmi za mteja husika. Inawezekana kabisa mfanyabiashara huyu mdogo akapata leseni na mtu akitaka kuthibitisha uhalali wake anaweza kwenda kwenye kanzidata maalum ya kuthibitisha leseni ya mfanyabiashara husika
Hali duni za maisha ya watu zimekuwa chanzo kikuu cha sintofahamu za kisisasa ambazo zimekuwa zikiikumba nchi hiyo tangu karne ya kumi na tisa.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved