New Twist in the Nigerian Woman Saga as Police Shift Blame to the Assault Survivor
Police claim that it dismissed the case following the lack of cooperation from the victim of the sexual assault.
Police claim that it dismissed the case following the lack of cooperation from the victim of the sexual assault.
World Bank’s two reports, the Tanzania Gender Assessment 2022 and the Tanzania Gender-Based Violence Assessment 2022, bring together the latest evidence on gender gaps in human endowments, economic opportunities, ownership and control of assets, and women’s voice and agency.
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
Wanawake wameshauriwa kujihusisha na masuala ya kitakwimu kwani kufanya hivyo kutawasaidia kwenye mapambano dhidi ya changamoto zinazowakabili.
Wanawake hao wanataja mila potofu na mifumo mingine kandamizi inayowazuia kumiliki ardhi, kitu wanachosema kinakwamisha hatua zao za kujiletea maendeleo wanayoyataka.
Wadau wanaamini kwamba sheria na sera ambazo zimekuwa zikipitishwa na vyombo vya EAC kama vile Sekretarieti na Bunge la Afrika Mashariki zimekuwa hazizingatii suala la jinsia pamoja na wafanyabiashara wadogo.
Matokeo ya utafiti wa hivi karibuni yanabainisha kwamba hali hiyo inatokana na kushamiri kwa vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanasiasa wanawake kwenye majukwaa hayo ya mijadala na muingiliano wa kijamii.
The story speaks softly and closely to our hearts, letting us know that we are not alone.
Zaidi ya asilimia 65 ya wafanyakazi wa majumbani hukiri kuwa wanapitia unyanyasaji wa kingono, kudhihakiwa, kufanyiwa mashambulio ya aibu, kutokulipwa kwa wakati au kulipwa tofauti na makubaliano au kutokulipwa kabisa.
Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved