The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Category: Gender

Changamoto na Haki za Wafanyakazi wa Majumbani

Zaidi ya asilimia 65 ya wafanyakazi wa majumbani hukiri kuwa wanapitia unyanyasaji wa kingono, kudhihakiwa, kufanyiwa mashambulio ya aibu, kutokulipwa kwa wakati au kulipwa tofauti na makubaliano au kutokulipwa kabisa.

Kilichojificha Nyuma ya Kuvuja kwa Video za Utupu Mitandaoni

Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.

Ukimya Siyo Suluhu ya Manyanyaso Katika Ndoa

Wanawake wanapaswa kusimama wao kama wao bila kuwa tegemezi kwa wenza wao. Hiyo itasaidia kupunguza manyanyaso. Na pale wanapokumbana na manyanyaso, watoke mbele waongee, wasikae kimya. 

Relief As Tanzania Lifts Ban on Pregnant Students

Wednesday’s announcement is music in the ears of activists who since 2017 when Magufuli imposed the ban have been pressuring the government to lift it, noting that it was hurting girls more than it was helping them.