Wanawake Wanavyotumia Takataka Kujipatia Kipato
Wajasiriamali hao hutumia takataka kutengeneza mkaa mbadala ambao huwasaidia kwenye matumizi yao ya nyumbani na kuuza pia na hivyo kuongeza kipato chao.
Wajasiriamali hao hutumia takataka kutengeneza mkaa mbadala ambao huwasaidia kwenye matumizi yao ya nyumbani na kuuza pia na hivyo kuongeza kipato chao.
Imani potofu, umasikini na umbali wa shule kumewafanya wazazi wengi kuwaficha watoto wao wenye ulemavu hivyo kuwanyima fursa ya kupata elimu. Serikali ya Mkoa wa Iringa inataka kubadilisha hali hiyo.
Wafanyabiashara wengi wanasema kuzimwa kwa intaneti kipindi cha Uchaguzi Mkuu kuliathiri biashara zao. Wakati baadhi waliweza kupunguza makali ya madhara hayo kwa kutumia teknolojia ya VPN, wengine hata hiyo VPN hawakuweza kuitumia.
Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama
More women have been nominated by political parties to contest for constituency seats in the upcoming 2020 general elections than in any other election in the history of Tanzania’s multiparty politics, The Chanzo analysis has revealed.
Patriarchy digs deep beyond currency and needs to be uprooted. Poverty is brutal and intensifies inequalities, but the two need to be tackled at per without leaving the other out.
Lengo lisiwe kumpa nguvu mwanamke au mwanamme bali kumpa nguvu binadamu bila ya kujali jinsia yake, ili kila mmoja katika jamii achangie kwa ujuzi na maarifa aliyonayo. Ni hapo ndipo utakapopatikana usawa wa kweli wa kijinsia.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved