Serikali Wilayani Mbozi Yadaiwa Kuhamisha Wananchi kwa Nguvu Kupanua Hifadhi ya Kimondo
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inalenga kuipanua hifadhi hiyo kwa ajili ya kutenga eneo maalum ambalo wanyama mbalimbali watawekwa na hivyo kukifanya Kimondo cha Mbozi kuwa eneo la utalii kwa mkoa wa Songwe.