
Kiini cha Maandamano ya 18-08 ya Wamasai wa Ngorongoro
Maandamano haya yanakuja wakati ambapo serikali ikendelea na mpango wake wa kuwahamisha Wamasai zaidi ya 110,000 kutoka Ngorongoro kwenda Msomera, Sauni, na Kitwai zaidi ya kilomita 300 kutoka makazi yao ya sasa.







