
Mfumo wa Haki Jinai Tanzania Unawaangusha Walemavu wa Akili
Namna mifumo ya kimahakama ilivyomfanyia Limi Limbu, mlemavu wa akili anayesota gerezani kwa miaka 11 sasa, ni kielelezo tosha cha namna mifumo yetu ya upatikanaji haki isivyojali utu wa binadamu na upatikanaji wa haki kwa ujumla.








