
Utata Leseni Ya Uchimbaji Madini Serengeti Kwenye Maeneo ya Wananchi. Afisa Adai Sio Lazima Kuwashirikisha
Leseni hizo zimejumuisha majina ya wananchi wachache ambao wanametajwa kuingia ubia na mwekezaji na hivyo kutambulika kama miongoni mwa wamiliki wa leseni bila ridhaa yao.








