Wanahabari Epukeni Makosa Haya Mnapokitumia Kiswahili
Wanahabari wanadhima ya kukieneza Kiswahili kikiambatana na ustaarabu, usahihi, usanifu, ufasaha, utamaduni na kunga zake.
Wanahabari wanadhima ya kukieneza Kiswahili kikiambatana na ustaarabu, usahihi, usanifu, ufasaha, utamaduni na kunga zake.
Serikali ni lazima ijue kuwa Tanzania haitaweza kupaa kiuchumi kama sera na taratibu za kibiashara zitakuwa zinabadilika kila siku.
Samia would benefit more by embracing people who oppose her plans to evict the Maasai people from Ngorongoro. Instead of isolating them, she needs to keep them closer and learn why they take such a position on the issue.
Je, anayeondoka ni kweli ametaka kuondoka au kwa sababu kuna vikwazo vikubwa ambavyo vimewekwa ambavyo mwisho wa siku vinaweza kumfanya yeye na familia yake kuona kwamba njia pekee iliyobaki ni kuondoka?
Tunajivunia kwamba Ngorongoro ni urithi wa dunia lakini hiyo haiondoshi ukweli kwamba kwenye hilo eneo kuna wenyeji wake.
Serikali inaweza kunufaika zaidi endapo kama itawaweka wenyeji karibu badala ya kuwaacha warubuniwe na wanasiasa na wanaharakati.
Expectations that the government would give clues about the future of the multiple-land use policy that has made Ngorongoro Conservation Area a unique geographical spot in Tanzania were misplaced.
Wananchi wa Kilosa wanakabiliwa na njaa kali. Njaa yao ni ya ardhi, hususani haki yao katika ardhi. Tunawezaje kudumisha amani katika mazingira kama haya?
The rapprochement between CCM and CHADEMA could either hurt or help the opposition.
Tanzania needs to treasure one of the greatest heritages Nyerere left the country with: the astonishing and outstanding state of literacy