Sheria Zinavyokiukwa Zanzibar kwa Kisingizio cha Kuvutia Wawekezaji: ‘Uholela Umetamalaki’
Zabuni kadhaa, zikiwemo za kuendesha bandari na viwanja vya ndege, zimetolewa kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya Zanzibar.
Zabuni kadhaa, zikiwemo za kuendesha bandari na viwanja vya ndege, zimetolewa kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya Zanzibar.
While CCM members describe changes brought about by the GNU as “fundamental,” their ACT-Wazalendo counterparts feel they’re yet to benefit from it.
Ismail Jussa anasema ‘Mamlaka Kamili’ haimaanishi wito wa kuvunja Muungano bali kuiwezesha Zanzibar kufaidi ‘mamlaka ya pamoja ya kidola.’
Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
Local contractors and opposition parties have questioned the manner with which the tender was awarded to foreign companies.
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
In our briefing today: Speaker Tulia declines to sack 19 former CHADEMA members, cites court injunction; Jussa calls for national consultative conference to rid Tanzania of constitutional impasse; Voluntary or Not? Maasai People Explain Their Views on ‘Relocation’ Exercise; China, Germany and UK establish consulates in Dodoma.
Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.
Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.
Marekebisho haya ya Katiba yaliondoa baadhi ya misingi ya kidemokrasia ambayo kwa sasa ndiyo inapigiwa chapuo iweze kurejeshwa.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved