Mambo Muhimu Ukamilishaji wa Mchakato wa Katiba Tanzania
Kalenda nzima ya nini kitaanza, na nini kitafuata, hatua kwa hatua hadi kupata Katiba Mpya, itapaswa kuandikwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Katiba.
Kalenda nzima ya nini kitaanza, na nini kitafuata, hatua kwa hatua hadi kupata Katiba Mpya, itapaswa kuandikwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Katiba.
Asema nia ya CCM ni kutokomeza siasa za chuki Tanzania.
Rais Samia ameonesha njia, kilichobaki ni sisi viongozi wa kiserikali, kisiasa, kijamii na kidini kuunga mkono na kusaidia kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya.
In our briefing today: ‘We shouldn’t share our poverty’: Will Ruto’s visit improve TZ-Kenya relations?; Mwinyi forms task force on political pluralism in Zanzibar; Here’s why LHRC wants death penalty abolished in Tanzania.
Ni wajibu wa walio kwenye mamlaka kutoa majibu na kuwajibika kwa wananchi.
Kwamba ACT-Wazalendo wameamua kufuata ushauri wa hayati Maalim Seif Sharif Hamad wa nani awe mrithi wake kwa nafasi ya Makamo wa Kwanza wa Rais inaonesha ni kwa kiasi gani kiongozi huyo alikuwa na ushawishi usiokifani kuweza kuamua mambo kutokea kaburini.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved