![](https://thechanzo.com/wp-content/uploads/2024/05/1-3-640x480.jpg)
Wananchi Goba Walilia Dampo Bubu Liendelee Kukaa Kwenye Makazi Yao
Wananchi wanadai taka hizo huzuia mmomonyoko wa ardhi, CAG ashangaa, akitahadharisha athari za kiafya.
Wananchi wanadai taka hizo huzuia mmomonyoko wa ardhi, CAG ashangaa, akitahadharisha athari za kiafya.
Mei 13, 2024 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilijadili na kupitisha bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2024/25 jumla ya shilingi trilioni 1.3
Binadamu na Maendeleo ni kitabu kinachobeba hotuba 11 alizohotubia Julius Nyerere kati ya mwaka 1968 na 1973 akiwa Rais wa kwanza wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Wadau wanasema ili chaguzi zijazo ziwe huru na za haki ni lazima mabadiliko ya Sheria yaliyofanyika yaende sambamba na mabadiliko madogo ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Tathmini ni kitu muhimu sana kwa kila kitu kwa kuwa huonyesha mambo yalivyoendeshwa, udhaifu uko wapi, changamoto ni zipi na kwa nini kulikuwa na mafanikio eneo fulani.
Katika uchunguzi uliofanywa na The Chanzo kwa siku tofauti uwanjani hapo majira ya asubuhi iligundua kuzagaa kwa kondomu zilizotumika katika maeneo mbalimbali kando ya uwanja huo ikiwemo viunga vya shule za msingi Kitangiri.
Sababu ni ufinyu wa mapendekezo ya wadau yaliyoanishwa kwenye sheria za uchaguzi, CCM yasema mabadiliko hayajafika kikomo.
Moja ya jambo ambalo linaonekana katika bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25 ni kuwa bajeti hii imepungua kwa kiasi kikubwa, kwa takribani asilimia 38, hii ikiwa ni baada ya miaka minne ya bajeti kuongezeka.
Ushahidi unaonesha kwamba adhabu ya viboko, makofi na nyingine kama hizo hazimsaidii mtoto. Badale yake, hupunguza tu hasira alizonazo mzazi juu ya kosa la mtoto.
Siasa za vyama vya upinzani zenye kuashiria chuki dhidi ya kikundi fulani cha wananchi ni zawadi kwa CCM inayoiwezesha kuendelea kubaki madarakani.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved