
Kwa Nini Msimu wa Ligi Uwe Miezi 12 Badala ya Tisa ya Kawaida?
Ratiba isipangwe na kubadilishwabadilishwa kiholela.
Ratiba isipangwe na kubadilishwabadilishwa kiholela.
CCM inaingia katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 ikiwa na silaha tatu kuu: rekodi ya utekelezaji wa Ilani ya 2020–2025, dira ya maendeleo kupitia Ilani ya 2025–2030, na msingi mpana wa wanachama kote nchini.
Wanasheria wanaeleza kuwa Kanuni haziwezi kuondoa haki inayotolewa na Katiba
Kada huyo wa CCM anatetea demokrasia ndani ya chama hicho kikongwe barani Afrika, uteuzi wa Rais Samia kama mgombea wa CCM kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi ujao, na madai ya CCM kutumia vyombo vya dola kubakia madarakani.
Baadhi wanaweza kusema Wazanzibari watashiriki kuamua mambo yetu Wabara kama wataingia kwenye kamati za utendaji, lakini midhari tumeshasema kwamba hivi vyama ni vya kitaifa, basi ni lazima ushiriki wa wote sit u uonekane, bali uwe halisi.
Waasi wa M23 wanaowezeshwa na Rwanda wameweza kuushika mji mkubwa wa Goma kwa mara ya pili toka mwaka 2013 walivyofurumishwa na kutoka katika mji huo.
Kwa siku za mbeleni kutakua na shauku kubwa ya kuona ni makundi yapi yamepata nguvu na makundi yapi ushawishi wake umepungua au kuisha kabisa.
Kata hiyo yenye wakazi 45,000 imeshuhudia matukio ya mauaji takribani sita ndani ya mwaka huu.
Tunakushukuru sana kwa kutuchagua sisi kuwa chanzo chako kikuu cha habari. Tunaomba ufahamu kwamba, kamwe, hatuchukulii poa uamuzi wako huo!
“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved