
Kwa Watanzania Waliofariki 2024, Tunawakumbuka na Kusherehekea Maisha Yenu
“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”
“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”
Utunzi wa ilani ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakusudia kutoa dira na muelekeo wa pamoja, kama chama, kuhusiana na vijiji na mitaa tunayotaka kuijenga.
Mabadiliko hayo yanaihusu Benki ya Acess iliyonunuliwa na Selcom. BancABC itabwadilishwa jina na kuwa Access Bank, baada ya kununuliwa na Benki ya Nigeria. Kilimanjaro Co-operative na Tandahimba Co-operative zinaungana na kuunda Co-operative Bank of Tanzania Limited
Kauli ya mtoto wa mwanasiasa huyo kwa Kiongozi Mkuu wa nchi inakuja takriban miezi miwili tangu kuripotiwa kwa taarifa za kutekwa na kuuwawa kwa mzazi wake.
Serikali inasema inafanya kila linalowezekana kurekebisha hali hiyo, lakini inakiri kwamba bila ushiriki wa jamii na familia, juhudi hizo zinaweza kushindwa kufanikisha malengo yake.
Kitabu cha Paulo Freire, Pedagogy of the Oppressed, kinaweza kutusaidia kulifahamu tatizo linalotukabili kama Watanzania, na namna ya kulitatua.
Mawakili wasema hata kama kampuni hiyo ilishauzwa, Lissu anaweza kuishtaki na akashinda kutokana na ushahidi atakaouwasilisha.
Jumatano ya Septemba 4, 2024, ACT Wazalendo tunafurahi na kuenzi maisha ya kisiasa na uongozi ya Juma Duni Haji, kiongozi wetu aliyetuvusha kwenye mapito mengi.
Dual citizenship can catalyse increased investments and expedite the development of a knowledge-based economy in Tanzania.
akamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ametangaza kuwa tayari amekiandikia chama chake juu ya nia ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama chake.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved