Theresia Dismas: Mwanamichezo wa Kwanza Kuipatia Tanzania Medali ya Kimataifa
Theresia Dismas aliipatia Tanzania Medali ya Fedha kwenye michuano ya kwanza ya Afrika, au The Inaugural All Africa Games, iliyorindima huko Jamhuri ya Congo, au Congo-Brazzaville, mnamo mwaka 1965.