![](https://thechanzo.com/wp-content/uploads/2024/04/Babu111-640x360.png)
Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
As imperfect and flawed as the Union may be, we are stronger together!
Ismail Jussa anasema ‘Mamlaka Kamili’ haimaanishi wito wa kuvunja Muungano bali kuiwezesha Zanzibar kufaidi ‘mamlaka ya pamoja ya kidola.’
Tukio hili limeibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku watu mbalimbali akiwemo mfanyabiashara ambaye ndizi zake zilikamatwa wakihoji muktadha mzima wa Muungano.
Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.
“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.
Tofauti na SUK ya 2010-2015 ambapo kambi mbili ndani ya Serikali, chama tawala na upinzani, zilifanya kazi kwa kuhofiana na kutoaminiana, SUK ya Mwinyi imekuwa tofauti kabisa.
Tujenge na tuimarisha mifumo ya utoaji haki na ugatuzi wa mamlaka ya nchi kwani usanii unaofanywa kwa jina la kusaidia wanyonge hauna uendelevu.
Huduma za zimamoto na uokoaji nchini zilitolewa katika halmashauri nchini mwaka 2007 kufuatia kupitishwa kwa Sheria Namba 14 ya mwaka 2007 ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ambalo kwa sasa lipo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved