Muungano: A Much-Needed Renewal of Vows
As imperfect and flawed as the Union may be, we are stronger together!
As imperfect and flawed as the Union may be, we are stronger together!
Ismail Jussa anasema ‘Mamlaka Kamili’ haimaanishi wito wa kuvunja Muungano bali kuiwezesha Zanzibar kufaidi ‘mamlaka ya pamoja ya kidola.’
Tukio hili limeibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku watu mbalimbali akiwemo mfanyabiashara ambaye ndizi zake zilikamatwa wakihoji muktadha mzima wa Muungano.
Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.
“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.
Ni ngumu sana kwa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye juhudi za maendeleo ya taifa kama hakutakuwepo na tumaini linaloeleweka kwao vizuri.
In our briefing today: Tanzania inches closer to becoming Africa’s critical minerals hub with new refinery license to Lifezone Metals; Tanzania plans high-resolution survey to 30 percent of it’s land to boost mining ; Foregrounding human dignity is key to protecting indigenous peoples’ rights in protected areas;
The choice of ‘human dignity’ as a reference framework underscores its foundational and all-encompassing usage under international human rights law, including equality and non-discrimination.
The choice of ‘human dignity’ as a reference framework underscores its foundational and all-encompassing usage under international human rights law, including equality and non-discrimination.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved