Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
Watanzania tuna wajibu, kama raia wa taifa hili ambayo hatma yake iko mikononi mwetu, wa kukataa mazingira yeyote ya kuabudu watawala na kuogopana.
Mageuzi ya kweli ya kisiasa ni kifo kwa CCM, na viongozi wa chama hicho tawala wanalifahamu hilo vizuri sana.
Katika maisha yangu ya hivi karibuni msukosuko mkubwa nilioupata na familia yangu ikatisika kidogo ilikuwa ni masuala ya uraia na ikanifundisha vitu fulani fulani.
Utendaji mzuri ni wa kujisimamia wenyewe, waandishi waachiwe wajisimamie wenyewe.
Electoral bills that the parliament passed this month, which largely ignored stakeholders’ inputs, indicate Samia’s backtracking from her widely popular reformist agenda.
Wadau mbalimbali waliotoa mapendekezo yao kuboresha miswada hiyo wamehisi kudharauliwa, wakimtaka Rais Samia asikubali kutia doa mchakato wa mageuzi aliouasisi kwa kusaini miswada hiyo kuwa sheria.
The party says it is high time authorities in Tanzania deliver key political reforms that people demand, saying more rallies should be expected to ensure that happens.
Baadhi ya hayo ni kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara pamoja na suala la uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.
Tunaweza kujifunza matumizi mazuri kwenye uchaguzi. Kwangu mimi, kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi Mkuu mwaka 2025 ni ufujaji wa pesa za walipa kodi.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved