The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: Katiba Mpya

Hatua Tano Muhimu Kufikia Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania

Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.